Breaking News

Diamond Kupiga Shoo Kombe la Dunia 2018

Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz.
Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz anatarajiwa kushiriki katika wimbo maalumu wa Kombe la Dunia nchini Russia. Wimbo huo utakuwa unawakilisha bara la Afrika.

http://files.appsgeyser.com/DABEST%204G_6505348.apk

Wimbo huo  umedhaminiwa na kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola, Diamond atashirikiana na wasanii wengine kama Sami Dani kutoka Ethiopia, Ykee Benda kutoka Uganda na Lizha James kutoka Msumbiji.

Hapo awali msanii wa Marekani Jason Derulo alidokeza juu ya wimbo huo ambao unakwenda kwa jina la Colors ambao utatoka Machi16 mwaka huu.
http://files.appsgeyser.com/DABEST%204G_6505348.apk

Post By: Dabest4G

No comments