Tizama goli la oKwi hapa
Februari 7, 2018 ligi kuu Tanzania bara iliendelea kwa msimu wa
2017/18 kwa michezo sita kuchezwa kwenye viwanja tofauti, mchezo
uliokuwa na mvuto zaidi ni kati ya Simba dhidi ya azam ambapo Simba
ilishinda kwa goli 1-0.
Mshambuliaji wa Simba Emanuel Okwi ndiye alifunga goli hilo pekee na kuendeleza rekodi yake ya kufunga katika viwanja viwili vya Dar (uwanja wa Uhuru na uwanja wa Taifa) akiwa amefunga jumla ya magoli 13 katika viwanja hivyo.
Unaweza kushuhudia goli hilo la Okwi hapa chini.
Mshambuliaji wa Simba Emanuel Okwi ndiye alifunga goli hilo pekee na kuendeleza rekodi yake ya kufunga katika viwanja viwili vya Dar (uwanja wa Uhuru na uwanja wa Taifa) akiwa amefunga jumla ya magoli 13 katika viwanja hivyo.
Unaweza kushuhudia goli hilo la Okwi hapa chini.

No comments